Wednesday, September 12, 2012

WAANDISHI WA HABARI SINGIDA NAO WAANDAMANA KUPINGA MAUAJI YA MWANDISHI MWENZAO DAUDA MWANGOSI

Askari wa usalama barabarani akiongoza maandamano ya wanahabari wa Singida walioandamana kupinga mauaji ya mwenzao

 Baadhi ya waandishi wa habari mkoa Singida-SINGPRESS wakiwa ofisi za klabu wakimsikiliza Mwenyekiti waoo, Seif Takaza

MAANDAMANO YAKIENDELEA KATIKA BARABARA MBALIMBALI ZA SINGIDA


No comments:

Post a Comment