Tuesday, November 27, 2012

ALICHOSEMA KAMANDA WA POLISI TANGA KUHUSU KIFO CHA SHALO MILLIONEA



                               Picha zote zikimuonesha Marehemu enzi za uhai wake.

kamanda wa polisi mkoa wa tanga Bwana Constatine Massawe amesema " kifo cha millionea kimetokea majira ya saa mbili, eneo linaloitwa Maguzoni songa , akiwa anaendesha gari aina ya  toyota Harrier akitokea Dar  kuelekea Muheza, alipofika hapo gari
liliacha barabara na kupinduka, na maiti imehifadhiwa katikachumba cha maitiya  hospitali teule ya Muheza. alikuwa mwenyewe.
Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi Amen

2 comments:

  1. Nawapa pole watanzania wote kwa msiba huu wa msanii chipukizi.

    ReplyDelete
  2. Jamani, kweli kizuri hakidumu! Nawapa pole watanzania kwa kuondokewa na msanii huyu. Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu. R.I.P shalo.

    ReplyDelete