Friday, November 30, 2012

BAADHI YA WASANII MBALIMBALI WALIOJITOKEZA KWENYE MSIBA WA SHARO MILLIONEA .....................

                                      Ndende akipembelezwa na wasanii wenzake
                                                          Wastara na msanii mwenzake
                                            Ray akiwa na msanii mwenzake


 Sintah na wasanii wengine wa bongo movie,Hapa palikua sehemu maalum kwa ajili ya wasanii
 Kutoka kushoto ni Sajuki,Mlela na huyu mama wa kaole(jina kasaulika,samahani lakini)
                                                                            Shetta
 Bonge wa mgahawa wa facebook kinondoni ambapo Sharo Millionea mara nyingi alikua anakula hapo jioni
                                         Dikii akifanya mahojiano na Millard Ayo
                                              Muhogo mchungu akipita na kushangiliwa
 Jackson Mbando kutoka Airtel ambapo aliniambia Sharo Milionea amefariki miezi nane tu baada ya kupata dili la kuwa balozi wa Airtel.
 Msanii Tunda Man kutoka Tiptop Connection pembeni yake ni Tembele.
                                   HK aliyekua Meneja wa Sharo Millionea
                                                                          Jackline Wolper
Mwigizaji JB nae alipata tabu baada ya watu kumshangilia na kutaka
apige nao picha.

Habari zaidi zinakuja......

No comments:

Post a Comment