Wednesday, November 21, 2012

BODABODA MKOANI SINGIDA WAGOMEA USHURU WA SUMATRA.

 Mwenyekiti wa umoja wa wafanyabiashara wa bodaboda mjini Singida,Irunde Mwangu (wa kwanza kulia) akisikiliza kwa makini ushauri uliokuwa unatolewa na askari polisi juu ya wao kusitisha kufanya mgomo kugomea ulipaji wa leseni na ushuru wa SUMATRA.
 Baadhi ya madereva wa bodaboda wa Singida mjini wakiwa kwenye viwanja vya Peoples Club kwa lengo la kufanya mgomo wa kugomea ushuru wa SUMATRA na ada ya leseni.
Pikipiki za wafanyabiashara wa bodaboda na bajaj wa manispaa ya Singida  zikiwa kwenye mgomo.

1 comment:

  1. AnonymousMay 09, 2013

    It's perfect time to make some plans for the future and it's time to be haρpy.

    I have read this poѕt and if I could I wish to suggest you few interesting thіngs
    οr advice. Peгhаpѕ уou can write next articles rеfeгrіng to
    this аrtіcle. ӏ want to read even more thіngѕ about
    it!

    Also visіt mу ωeb blog french riviera property

    ReplyDelete