Tuesday, November 27, 2012

HALI YA MZEE MAJUTO YAZIDI KUWA MBAYA BAADA YA KIFO CHA SHARO MILLIONEA.


Hali ya presha ya Mzee King Majuto imepanda na kuzidi kuwa mbaya baada ya kupokea taarifa za msiba wa Sharo Milionea hali inayopelekea
mkewe na Mwanae kupeana zamu katika kumhudumia ili kurejesha hali yake katika hali ya kawaida

No comments:

Post a Comment