Saturday, December 1, 2012

MAITI YA SHARO MILLIONEA ALIKATWA VIDOLE NA VIBAKA...

Watu wa nne wamekamatwa na jeshi la police wakiwa na Baadhi ya vitu alivyokuwa navyo marehemu Sharo Milionea kama vile
Jeans,T-Shert,Viatu,Simu ya mkononi,Pete,Cheni,Tairi moja la gari,pamoja na Battery la gari alilopatanalo ajali marehemu
Sharo Milionea....Inasemekana watu hao waliposhindwa kumvua Pete vidoleni walimkata vidole vyake....Watuhumiwa hao walikuwa sita wamekamatwa wanne bado wawili waliokimbia na pesa alizokuwa nazo Maremu Sharo Milionea...

No comments:

Post a Comment