Thursday, March 14, 2013

KIBAKA ANAYETUHUMIWA KUIBA SIMU AKILA KICHAPO KIKALI KUTOKA KWA WANANCHI WENYE HASIRA KALI.

 Kijana anayedhaniwa kuwa ni kibaka katika eneo la soko kuu mjini Singida, akisulubiwa kwa kupigwa na mateke na mawe baada ya kutuhumiwa kumwibia simu ya mkononi msichana (kulia) anayemshikilia.
 
 Kijana huyo akipaa baada ya kupigwa ‘mtama’ kwa tuhuma ya kukwapua simu ya mkononi ya msichana (wa pili kulia).

No comments:

Post a Comment