Thursday, March 21, 2013

Serikali ya wilaya ya Singida imeagiza kuwa kila siku ya Jumatano kuwa siku ya usafi kwa kazi zote kusimama na kufanya usafi tu.

 Mkuu wa wilaya ya Singida Mwalimu Queen Mlozi akikagua kibanda cha mama lishe katika soko kuu mjini Singida.
 Mkuu wa wilaya ya Singida Mwalimu Queen Mlozi akiwa kwenye ziara ya kuhimiza usafi katika manispaa ya Singidaleo. Hapa akihimiza kuondolewa kwa uchafu wa matawi ya migomba katika soko mkuu mjini Singida.
 Mkuu wa wilaya ya Singida Mwalimu Queen Mlozi akiwaagiza akina mama wajasiria mali wauzaji wa mboga mboga katika soko kuu la Singida mjini wahakikishe soko kuu linakuwa safi wakati wote kwa kuondoa takataka.
Mkuu wa wilaya ya Singida Mwalimu Queen Mlozi (kulia) akifurahia jambo na wajasiriamali wauza mboga mboga wa soko kuu mjini Singida.

No comments:

Post a Comment