Monday, April 8, 2013

SHIDA YA MAJI SINGIDA SASA BASI...!

Tatizo sugu la upatikanaji wa maji kwa wakazi wa mji wa Singida, linatarajiwa kuwa historia kuanzia mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaofadhiliwa na benki ya waarabu (BADEA) kwa kushirikiana na umoja wa nchi zenye mafuta (OPEC). Baadhi ya vibarua  wakichimba mtaro wa kulaza mabomba ya maji ikiwa ni sehemu ya kumalizia ujenzi wa mradi mkubwa wa maji.

No comments:

Post a Comment