Sunday, November 3, 2013

Mkuu wa wilaya ya Singida Mwl. Mlozi afunga mafunzo ya Mgambo.

Mkuu wa wilaya ya Singida, mwalimu Queen Mwashinga Mlozi akikagua Gwaride ikiwa ni sehemu ya kufunga mafunzo ya askari Mgambo wa manispaa ya Singida. Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Peoples klabu mjini Singida.
Baadhi ya askari Mgambo 90 wakitembea kwa mwendo wa taratibu kama sehemu ya kufunga mafunzo yao.
Askari mgambo waliohitimu,wakitoa heshima zao kwa mgeni rasmi wa ufungaji mafunzo hayo,mkuu wa wilaya ya Singida,mwalimu Queen Mwashinga Mlozi (hayupo kwenye picha).
Askari mgambo wakitoa heshima kwa mgeni rasmi wa kufunga mafunzo yao mkuu wa wilaya ya Singida ,mwalimu Queen Mwashinga Mlozi.

No comments:

Post a Comment