Monday, January 20, 2014

PICHA KUMI (10) ZA AJILI MBAYA ILIYOTOKEA SINGIDA NA KUUWA WATU 13 PAPOHAPO.

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI KAMA ZITAKUKWAZA.
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isuna tarafa ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, wakitoa miili ya abiria wa Noah T.730 BUX waliofariki baada ya gari hilo kugongwa na lori aina ya Scania T.687 AXB kwenye barabara kuu ya Singida – Dodoma leo


Baadhi ya miili ya abiria wa Noah T,730 BUX waliofariki leo kwenye ajali iliyotokea eneo la kijiji cha Isuna tarafa ya Ikungi wilaya ya Ikungi.

 Gari aina ya Noah T,730 BUX linavyoonekana baada ya kugongwa na Lori.


No comments:

Post a Comment