Thursday, December 8, 2011

Jamii Ya Wahadzabe

Mhadzabe Bw. Maidona Wazaeli akiwa mbele ya nyumba yake.

Jengo moja lenye vyumba viwili vya madarasa ambalo halijakamilika kwa ajili ya wanafunzi wa chekechea, lililojengwa na kanisa la KKKT Dayosisi ya kati kwa gharama ya Sh.Milioni 25/=.

Nyumba ya Mhadzabe inavyoonekana baada ya kukamilika na watu kuishi ndani.

Picha ya mtoto wa Kihadzabe, kweli mtoto wa nyoka ni nyoka. Mtoto huyo anajifunza jinsi ya kutumia pinde na mshale hukohuko porini.

Mwandishi wa Habari Leo na Dailynews mkoa wa Singida Bw. Abby Nkungu akitoka ndani ya nyumba ya Mhadzabe.

Ndugu zetu Wahadzabe bado wanahitaji msaada ingawa jamii ya wafugaji inawaingilia katika makazi yao kwenye pori la Kipamba, wilayani Iramba,Singida.

No comments:

Post a Comment