Thursday, September 13, 2012

NATURE NI BABA YANGU ILA AMENIKATAA

Kijana huyu anadai kuwa yeye ni mtoto wa msanii Juma Nature na kujitambulisha kama Samson Juma Kassim Kiroboto, Samson anatokea Morogoro na kwa maelezo yake yeye amezaliwa mwana 1995.
 
"mama yangu ameshafariki na nilishawahi kwenda mpaka kwa baba yangu Juma Temeke nikiwa na bibi yangu, lakini aliponiona tu akanifukuza akasema hataki kuniona tena " hayo ndio yalikua maelezo ya Samson.

 
                        Unaona kuna kufanana na nature katika picha hiyo?

No comments:

Post a Comment