Wednesday, March 12, 2014

Utekaji wa magari katika kijiji cha Kisaki washika kasi

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP.Geofrey Kamwela, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari juu ya tukio la utekaji wa magari katika eneo la Kisaki manispaa ya Singida. Naibu Waziri wa Afrika Mashariki Abdula J. Abdula ametoa wito kwa madereva kuacha mara moja vitendo vya kuziba barabara kwa madai ya kudai haki zao kuwa vinachangia kusababisha madhara mengi.



Baadhi ya magari yaliyokwama kupita baada ya kufanyika kwa utekaji wa magari katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.

No comments:

Post a Comment