Mjumbe wa baraza la Katiba kwa watu wa makundi mbalimbali mkoani Singida Mussa Sima akitoa maoni ya kikundi chao juu ya uboreshaji wa rasimu ya Katiba katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa chuo cha wananchi mjini Singida.
Baadhi ya viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali ya mkoa wa Singida wakishiriki kikao cha rasimu ya katiba katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano cha chuo cha maendeleo ya wananchi mjini Singida.
Baadhi ya viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali ya mkoa wa Singida wakishiriki kikao cha rasimu ya katiba katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano cha chuo cha maendeleo ya wananchi mjini Singida.
Baadhi ya wajumbe wa baraza la rasimu ya Katiba kutoka kwenye makundi mbalimbali, wakiwa kwenye kikundi kujadili uboreshaji wa rasimu ya katiba.
Baadhi ya wajumbe wa baraza la rasimu ya katiba kwa watu kutoka makundi mbalimbali katika manispaa ya Singida, wamependekeza kuundwa kwa muungano wa serikali tatu na kudai kila serikali inufaike na raslimali zake.
Wakifafanua, wamependekeza muungano huo uwe na serikali ya muungano wa Tanzania, serikali ya Tanzania bara na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Wamesema kila serikali inufaike peke yake na






















































