Tuesday, September 2, 2014

Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi.

Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.
 Waandishi wa habari wakimchukua maelezo msichana huyo.
 Msichana Jackline akilia wakati akiwaonesha waandishi wa habari jeraha alilomwagiwa uji na mke wa bosi wake.

Muuguzi wa zamu katika wodi namba mbili Anna Sprian akizelelezea maendeleo ya Jackline.
Hawa ni majirani waliofika kumjulia hali majeruhi Jackline katika hospitali ya mkoa wakihojiwa na waandishi wa habari.
Jack akiwa wodini kabla ya kuzungumza na vyombo vya habari.

No comments:

Post a Comment