Wednesday, September 7, 2011

STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA ALGERIA

Mchezaji wa kimaaifa wa Stars anayecheza mpira wa kulipwa Nchini,Vietnam,Dany Mrwanda akijaribu kumpita mchezaji wa timu ya Taifa ya Algeria Laifaoni Abderkadir kwenye mechi iliyochezwa leo uwanja wa Taifa,Dar na mpira kuisha kwa sare ya 1-1,Stars ndio iliyokua ya kwanza kupata bao lililofungwa na Mbwana Samata

Wachezaji wa Stars wakishangilia bao lilifungwa na Mbwana Samata(kati)kushoto ni Amir Maftaha akiwa na Dany Mrwanda.

No comments:

Post a Comment