Wednesday, September 7, 2011

Mrembo Rose Albert anyakua taji la Vodacom Miss Talent 2011

Mrembo Rose Albert akionyesha kipaji chake katika siku ya kumtafuta Vodacom Miss Talent 2011 ambapo alifanikiwa kunyakua taji hilo, usiku wa kuamkia leo katika hotel ya Giraffe jijini Dar es Salaam

Majaji wa shindano la Vodacom miss Talent 2011 wakiwa kazini,kutoka kushoto Jacqueline Walper,Rachel Sindbard,Bosco Majaliwa.

Baadhi ya warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania wakipozi kwa picha katika kinyang’anyiro cha Vodacom miss talent 2011 ambapo Rose Albert alifanikiwa kunyakua taji hilo, usiku wa kuamkia leo katika hotel ya Giraffe jijini Dar es Salaam.

Warembo tano bora waliofanikiwa kuingia katika kinyang’anyiro cha Vodacom miss talent 2011 ambapo Rose Albert watatu toka kushoto alifanikiwa kunyakua taji hilo usiku wa kuamkia leo katika hotel ya Giraffe jijini Dar es Salaam

Vodacom Miss Talent 2011 Rose Albert akiwapungia mkono watazamaji mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo.

No comments:

Post a Comment