Friday, September 9, 2011

Mama Salma Kikwete Atembelea Taasisi Ya UVIKIUTA Mbagala-Chamazi

Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia) akionyeshwa miche ya miti mbalimbali na Mwenyekiti wa Taasisi ya maendeleo ya vijana (UVIKIUTA)Ben Mongi (shati la kitenge)alipotembelea Sept.8.2011 na kuangalia shughuli mbalimbali za taasisi huko Mbagala-Chamazi Mkoani Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete akiwapa nasaha vijana wa UVIKIUTA huko Mbagala Charambe Wilaya Temeke Mkoa wa DSM Sept.8.2011 alipowatembelea. (kushoto) Mwenyekiti wa UVIKIUTA Ben Mongi.

Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia) akionyeshwa miche ya miti mbalimbali na Mwenyekiti wa Taasisi ya maendeleo ya vijana (UVIKIUTA) Ben Mongi (shati la kitenge) alipotembelea Sept.8.2011 na kuangalia shughuli mbalimbali za taasisi huko Mbagala-Chamazi Mkoani Dar es Salaam.

Baadhi ya vijana wa taasisi ya maendeleo ya vijana nchini wakisikiliza nasaha kutoka kwa Mama Salma Kikwete

Mama Salma Kikwete akiwa kwenye Picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment