Wednesday, September 7, 2011

Mchezaji wa kulipwa Nizar Khalfan amkabidhi jezi Rais kikwete Ikulu jijini dar.


Mtanzania anayecheza Soka ya kulipwa katika timu ya White Caps ya jijini Vancouver Canada Nizar Khalfan akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Kikwete jezi ya timu yake wakati alipokwenda kumsalimu na kumshukuru ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.

No comments:

Post a Comment