Friday, September 9, 2011

Kuhusu Matumizi ya Nembo ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Maonesho Makubwa ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Katibu mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Bw. Sethi Kamuhanda (katikati) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es salaam kuhusu matumizi ya nembo ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara na maonesho makubwa ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara yatakayofanywa na Wizara hiyo eneo la Butiama, Musoma kuanzia tarehe 7-14 Oktoba na kutoa wito kwa wananchi kujitokeza kushiriki maonesho hayo na kuitumia nembo hiyo kwenye shughuli mbalimbali zikiwemo za biashara .Kushoto ni Bw. Mulwa Msongo Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu na Bw. Raphael Hokororo (kulia) Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Habari.

No comments:

Post a Comment