Friday, October 21, 2011

MADUKA MANNE YAUNGUA MOTO MJINI SINGIDA



Dogo akiwa kwenye hekaheka


Picha zote tatu zikionyesha jinsi maduka yalivyokua yakiteketea kwa moto
Watu wakiwa katika harakati za kuokoa vitu vyoa

Gari la zima moto likifanya kazi yake

Hali hilivyokua baada ya moto kuzimwa nusu na kikosi cha zima moto.
Hakuna mtu aliyepoteza maisha au kujeruhiwa

No comments:

Post a Comment