Friday, October 28, 2011

Msafara Wa Punda!


Na mbwa wamo ingawa hawaonekani. Pichani msafara wa punda waliobeba magunia ya mkawa ukielekea Singida Mjini kutoka vijiji vya kando ya mji. Picha hii nimeipiga leo alfajiri kabla ya kupambazuka

No comments:

Post a Comment