Monday, December 2, 2013

Enock Rajabu kutoka Singida aibuka mshindi kwenye droo ya “Chomoka na Mwananchi"


Mwalimu wa shule ya msingi Mwanzi ya Manyoni mjini, mkoani Singida, Enock Rajabu (kulia) akikabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi milioni moja baada ya kushinda droo ya  ’Chomoka na Mwananchi’ na meneja mauzo wa kampuni ya Mwananchi mikoa ya Singida na Tabora, Bw. Aretas Mroso. Shindano hilo la kuwania shilingi milioni moja,bado linaendelea katika droo ya kila siku na inamwezesha mhusika kuingia kwenye droo kubwa ya kujishindia gari kubwa jipya kabisa aina ya TATA safari.

No comments:

Post a Comment