Kamanda wa jeshi la polisi
mkoa wa Singida (wa kwanza kushoto mwenye fimbo) akiangalia daraja
lililobomoka la Munung’una lililopo barabara kuu ya Singida – Mwanza
eneo la kijiji cha Msisi wilaya ya Singida.
Mhandisi wa TANROADS mkoa wa Singida,Yustaki Kangole akiwaelekeza jambo wahandisi wa kampuni ya CHICO iliyojenga daraja lililobomokajuzi la kijiji cha Msisi wilaya ya Singida.Daraja hilo lililopo kwenye barabara kuu ya Singida – Mwanza,limebomoka baada ya kuzidiwa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha siku moja kabla ya mwaka mpya.
Baadhi wa wasafiri waliokwama baada ya daraja la Munung’una lililopo katika barabara kuu ya Singida – Mwanza eneo la kijiji cha Msisi wilayani Singida, kubomoka juzi kufuatia mvua kubwa zilizonyesha mkoani Singida.
Mhandisi wa TANROADS mkoa wa Singida,Yustaki Kangole akiwaelekeza jambo wahandisi wa kampuni ya CHICO iliyojenga daraja lililobomokajuzi la kijiji cha Msisi wilaya ya Singida.Daraja hilo lililopo kwenye barabara kuu ya Singida – Mwanza,limebomoka baada ya kuzidiwa na maji ya mvua kubwa iliyonyesha siku moja kabla ya mwaka mpya.
Baadhi wa wasafiri waliokwama baada ya daraja la Munung’una lililopo katika barabara kuu ya Singida – Mwanza eneo la kijiji cha Msisi wilayani Singida, kubomoka juzi kufuatia mvua kubwa zilizonyesha mkoani Singida.
Mvua
kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Singida,zimeendelea kuleta maadhara
makubwa ikiwemo kuvunja daraja na barabara kuu ya Singida – Mwanza na
kuua raia moja wa nchini China.
Juzi
mvua hizo zilisababisha familia ya watu wanne



















