Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Olivary Kamili akiagalia wanafunzi wakijipanga tayari kuingia madarasani kuanza masomo.
Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Magayane Protace,amewataka walimu watakaosimamia mtihani wa taifa wa darasa la saba mwaka huu,kujiepusha na vitendo ambavyo ni kinyume na viapo vyao.
Magayane ametoa tahadhari hiyo mwishoni mwa wiki,wakati akifungua semina iliyohudhuriwa na walimu wa shule za msingi tarafa ya Sepuka,wanaotarajiwa kusimamia mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu.
Alisema kazi ya kusimamia mtihani wa taifa wa darasa la saba,ni lazima kila mwalimu ale kiapo mbele ya
Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Magayane Protace,amewataka walimu watakaosimamia mtihani wa taifa wa darasa la saba mwaka huu,kujiepusha na vitendo ambavyo ni kinyume na viapo vyao.
Magayane ametoa tahadhari hiyo mwishoni mwa wiki,wakati akifungua semina iliyohudhuriwa na walimu wa shule za msingi tarafa ya Sepuka,wanaotarajiwa kusimamia mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu.
Alisema kazi ya kusimamia mtihani wa taifa wa darasa la saba,ni lazima kila mwalimu ale kiapo mbele ya



















