Maafisa TFDA kanda ya kati,
Florent Kyombo (kushoto) akishuhudia mmiliki wa duka la Temba, Singida
mjini Bw. Temba akisaini fomu yakutekeza bidhaa zilizoisha muda wake na
akazitoa dukani, TFDA walimsifu sana.
Kaimu meneja TFDA kanda kati, Florent Kyombo na Joseph Mwasambili wakikagua vinywaji vikali kwenye moja ya duka mjini Singida, katika oparesheni maalumu kusaka bidhaa zilizomaliza muda kwa matumizi ya binadamu.
Kaimu meneja TFDA kanda kati, Florent Kyombo na Joseph Mwasambili wakikagua vinywaji vikali kwenye moja ya duka mjini Singida, katika oparesheni maalumu kusaka bidhaa zilizomaliza muda kwa matumizi ya binadamu.
Mamlaka
ya chakula na dawa nchini (TFDA), imekamata bidhaa mbalimbali ikiwemo
vipodozi vilivyopigwa marufuku na vilivyomaliza muda vikiwa na thamani
ya zaidi ya Sh. Milioni
















