Friday, February 15, 2013

Jaji Laurance Kaduri azindua vikao vya mahakama Singida

 Jaji Laurance Kaduri wa mahakama kuu kanda ya Dodoma akikagua gwaride la kuashiria kuanza kwa vikao vya mahakama hiyo vitakavyochukua mwezi mmoja kuanzia leo (11/2/2013).Vikao hivyo vinaendelea  katika mahakama ya hakimu mkazi mjini Singida.

Kikosi cha askari 50 wa kutuliza  ghasia mjini Singida kikitoa heshima kwa jaji Laurance Kaduri.

No comments:

Post a Comment