Thursday, February 21, 2013

Wakulima mkoani Singida wanufaika kwa msaada wa majembe ya kukokotwa na Ng’ombe yaliyotolewa na Mh.Dewji.

 Baadhi ya wakulima wa jimbo la Singida mjini, wakinufaika na msaada wa majembe ya kukokotwa na Ng’ombe uliotolewa na mbunge wa jimbo hilo, Mohammed Gullam Dewji hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment