Monday, April 1, 2013

Wakristo singida waungana na wenzao dunia nzima kuadhimisha sikukuu ya Pasaka.

Mchungaji wa kanisa la Free Pentekoste Church Tanzania (FPCT) mkoa wa Tanga,Steven Robert Mlenga,akihubiri waumini wa kanisa la FPCT Singida mjini  (31/3/2013) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku kuu ya Pasaka.
Baadhi ya waumini wa kanisa la FPCT Singida mjini, wakifuatilia kwa makini mahubiri yaliyokuwa yakitolewa na mchungaji Steven Robert Mlenga kutoka mkoa wa Tanga (hayupo kwenye picha) Mahubiri hayo yalikuwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku kuu ya Pasaka.
                                                   Wanakwaya wakifuatilia mahubiri.

No comments:

Post a Comment