Monday, March 11, 2013

HUSSEIN MACHOZI AIBIWA LAPTOP NA KUSEKWA LOKAPU SINGIDA

Msanii Hussein Machozi aibiwa laptop yake aina ya Macintosh yenye thamani ya zaidi ya shilingi million
2.8 za kitanzania kwenye nyumba moja maarufu ya kulala wageni singida mjini.
Habari kamili sikiliza hapa

1 comment:

  1. daaah! pole Hussein Machozi unaibiwa home. kwahiyo kumbe haukutendewa haki?

    ReplyDelete