Saturday, March 30, 2013

Mh. Dewji atoa msaada kwa taasisi za dini mkoani Singida

 Katibu wa mbunge jimbo la Singida mjini (Mh. Mohammed Dewji) Duda Juma akikabidhi mabati 100 kwa mchungaji Zefania Mkuki wa kanisa la FPCT (Free penecoste church of Tanzania) Unyamikumbi la mjini Singida.
 Katibu wa mbunge jimbo la Singida mjini (Mh. Mohammed Dewji) Duda Juma akimkabidhi Kiongozi wa msikiti wa Hidaya Mtipa mifuko 50 ya Sementi.
 Katibu wa mbunge jimbo la Singida mjini Duda Juma akikabidhi mabati 164 kwa mwenyekiti msaidizi Aloyce J.M wa kanisa la Kigango cha kibaoni.
Katibu wa mbunge wa Singida mjini Duda Juma akimkabidhi sheikh Ihucha Imamu wa msikiti wa Jabal Hiraa mifuko 200 ya Sementi.

No comments:

Post a Comment