Monday, October 21, 2013

AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MIWILI JELA KWA WIZI WA MIFUGO


Mkazi wa  Mwasauya  mkoani Singida amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kubainika kutenda kosa wizi wa mifugo.

Akisoma hukumu hiyo hakimu wa mahakama ya mwanzo utemini Joyce Shilla amemtaja mtuhumiwa kuwa ni Msunga Sima kuwa alitenda kosa hilo september 28 mwaka huu.

Hakimu Shilla amesema mshitakiwa akiwa na mwenzake aliyefahamika kwa jina la Rajabu Sidadi waliiba mbuzi wawili na kisha kumchinja mmoja kabla ya
mtuhumiwa rajabu kutoroka  na kukimbilia kusiko julikana
Mtuhumiwa amehukumiwa kifungo cha miaka mitano na faini ya shilingi laki moja na elfu ishirini

No comments:

Post a Comment