Tuesday, October 15, 2013

ALAT MKOANI SINGIDA WATAKIWA KUKUSANYA MAPATO YA ADA ZA LESENI



Na SingidaYetu.Blogspot.com

Wajumbe wa  jumuiya ya tawala za mikoa Tanzania  ALAT  mkoa wa Singida wametakiwa kuonyesha  uwezo wa kukusanya  mapato yanayotokana na Ada za lesen kwa ukamirifu  ili kutimiza malengo yaliyokusudiwa

Wito huo umetolewa leo na Mkuu wa mkoa wa Singida Dr. Parseko Kone wakati wa ufunguzi wa Kikao cha ALAT mkoa kilichofanyika kwenye ukumbi wa parokia ya kanisa katoliki mjini Singida

Dr. Kone amesema ada za lesen zikikusanywa  kwa ukamilifu serikal itaongezea halmashauri za mkoa wa Singida wigo mpana wa vyanzo katika halmashauri zote
Amesema kwa kutumia fursa hiyo ya makusanyo kutasaidia kuwa na matokeo chanya kwa kuibua,kukusanya kusimamia na kufuatilia mapato ya halmashauri.

No comments:

Post a Comment