Thursday, January 10, 2013

Wakati mwingine na sisi abiria tuna makosa, hebu tazama hii picha ni nani wakulaumiwa ajali inapotokea..?!

 Landrover aina ya 110 T.973 AFO inayosafirisha abiria na mizigo kati ya Singida mjini na kijiji cha Londoni kilichopo wilaya ya Manyoni,ikiwa imesheheni mizigo ikisukumwa tayari kuanza safari ya kwenda Londoni.
Landrover aina ya 110 T.973 AFO ikiwa imesheheni mizigo ya wafanyabishara wa kijiji cha Londoni wilayani Manyoni. Mzigo ukiwa mkubwa kitendo kinachohatarisha maisha ya abiria.

No comments:

Post a Comment